Quantcast
Channel: EVENTS & PROMOTIONS – MO BLOG
Viewing all 490 articles
Browse latest View live

Hivi ndivyo ilivyokuwa usiku wa Valentine’s Day na Skylight Band ndani Thai Village

$
0
0

DSC_0416

Lubea wa Skylight Band alitega mingo lango kuu la kuingilia na kugawa Shots za Tequila pamoja na Sambuka bure kwa wapenzi wa Skylight Band kwenye usiku wa wapendanao Ijumaa iliyopita na Ijumaa zote za kila wiki wapo Thai Village.

DSC_0419

Mashabiki wa Skylight Band wakipata shots za Tequila bure kwenye usiku maalum wa wapendanao uliofana Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0435

Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye usiku wa wapendanao juma lililopita huku akisindikizwa na Mary Lucos, Sony Masamba na Sam Mapenzi.

DSC_0611

Wadadaz na Wakaka wakijimwaga na burudani ya Skylight Band.

DSC_0448

Walipendezaje…: Digna Mbepera akifanya yake jukwaani.

DSC_0491

MAJEMBE YA SKYLIGHT BAND….Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo katika hisia kali kwenye nyimbo za malavidavi huku akisindikizwa na Joniko Flower pamoja na Sony Masamba.

DSC_0628

Palikuwa hapatoshi….kama ulikosa juma lililopita basi burudani inaendelea leo pale pale Thai Village.

DSC_0503

Birthday Girl….Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 (katikati) sambamba na Winfrida Richard pamoja na Digna Mbepera waking’ara kwa jukwaani kwenye usiku wa Valentine’s Day juma lililopita.

DSC_0637

Mheshimiwa Bundala anakwambia burudani ya Skylight Band ni Gym tosha, kama anavyoonekana pichani akisebeneka na mrembo.

DSC_0514

Nakupenda pia…Nakupenda Pia…… Collabo ya Ukweeli kati ya Hashim Donode na Winfrida Richard njoo Ijumaa hii usikie kwa masikio yako.

DSC_0525

Surprise…..Ilipotimia saa sita kamili ya kuamkia tarehe 15/2 alizaliwa Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47, waimbaji wenzake waliamua kumuimbia wimbo wa Happy Birthday na kumtakia maisha marefu…..Hujachelewa sana Ijumaa hii unaweza kum-wish belated Happy birthday na kazawadi kidogo….!

DSC_0527

DSC_0529

Champagne zilihusika na kufunguliwa na Mary Lucos pamoja na Sam Mapenzi.

DSC_0531

Mashabiki wa Skylight Band wakimpongeza Aneth Kushaba AK47.

DSC_0538

Kuogeshwa nako kulihusika hajalisha umependezaje…lazima uoge kidogo….! Full Champagne….!!!

DSC_0553

Aneth Kushaba AK47 akitoa shukrani kwa Maboss wake pamoja na wadau wa Skylight Band wanaoendelea kuikubali na kuipa Support Band hiyo ya kijanja ambayo kwa sasa ni habari ya mujini.

DSC_0558

Aliwazaliwa mtoto mwingine Birthday Boy Mheshimiwa Bundala shabiki namba moja wa Skylight Band, naye pia alizawadia wimbo maalum wa Happy Birthday.

DSC_0561

Sio jasho jamani ni maji hayo….!

DSC_0567

Sam Mapenzi akimpongeza mdau wao Mheshimiwa Bundala kwenye kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.

DSC_0573

Burudani iliendelea…Hashim Donode na Divas wa Skylight Band wakiwapa raha mashabiki wao juma lililopita ndani ya kiota cha Thai Village.

DSC_0647

Wake kwa Waume wakipata raha za muziki wa Skylight Band kwenye usiku maalum wa wapendanao.

DSC_0663

DSC_0668

Sam Mapenzi akionyesha zawadi kwa Couple watakaocheza vizuri kwenye usiku maalum wa wapendanao uliondaliwa na Skylight Entertainment kupitia bendi yake ya Skylight Juma lililopita.

DSC_0712

Aneth Kushaba AK47 na Sam Mapenzi wakiendesha zoezi la kuchagua Couples iliyocheza vizuri kwenye usiku huo maalum.

DSC_0717

Na hii ndio Couples iliyoibuka na ushindi na kuzawadiwa mjichupa wa Champagne.

DSC_0732

Washindi kwenye usiku maalum wa wapendanao na Skylight Band wakipata Ukodak wa pamoja.

DSC_0734

Skelewu……ndio mpango mzima na Sam Mapenzi…..!

DSC_0761

Shabiki wa Skylight Band akisebeneka jukwaani.

DSC_0815

Mdau wa Skylight Band Emmanuel Francis akionyesha manjonjo yake kusakata moja ya staili ya Band hiyo inayowashinda mashabiki wengi lakini yeye ndio fundi wao.

DSC_0820

DSC_0596

Boss mtoto Eddie akiteta jambo na Birthday Girl Aneth Kushaba pamoja na Mary Lucos.

DSC_0583

Birthday Girl na Birthday Boy wakipongezana.

DSC_0600

Mary Lucos a.k.a Mama Kijacho akipozi kupata Ukodak.

DSC_0604

Wadau wa ukweli wa Skylight Band na MOblog..Shukrani kwa kuikubali kazi ya mikono yangu…Pamoja sana…!!!

DSC_0608

Familia ya Skylight Band ikipata Ukodak…..Imagine wangekuwa mapacha hawa jamaa…!!

DSC_0467

Warembo wa ukweliiii walikuwepo ndani ya nyumba.

DSC_0639

Aneth Kushaba AK47 akipata Ukodak na wadau wa Skylight Band.

DSC_0831

Alosi Ngonyani akipata Ukodak na Mary Lucos.

DSC_0781

Wadau wa Skylight Band nao walikuwepo.

DSC_0792

Birthday Boy Mheshimiwa Bundala  na Alois Ngonyani wakipozi kwa Ukodak.

DSC_0748

Mdau Customer Care ndani ya nyumba,


Family Day ya wafanyakazi wa TCRA kanda ya Mashariki ilivyonoga

$
0
0

01

Meneja wa  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki  inayoundwa na mikoa  mitano ya Dar es Salaam, Morogoro,Pwani, Lindi na Mtwara , Eng.Oscar Mwanjesa akiongea  jambo kwa wafanyakazi wa TCRA walioambatana pamoja na familia zao katika siku ya  Family Day iliyofanyika   katika ufukwe wa hoteli ya Livingston Wilayani Bagamoyo  mkoani Pwani. 

02

Meneja wa  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki  inayoundwa na mikoa  mitano ya Dar es Salaam, Morogoro,Pwani, Lindi na Mtwara , Eng.Oscar Mwanjesa. Akisakata dansi na wafanyakazi na Katibu Mhitasi Halima Magonga (kulia)wakati wa kuadhimisha siku ya Familia(FamilyDay) iliyofanyika  katika ufukwe wa  Livingstone Wilayani Bagamoyo. 

03

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  wakishindana kufukuza kuku wakati wa Family Day iliyofanyika katika ufukwe wa Livingston Bagamoyo ,Hafla hiyo iliwashirikisha wafanyakazi na familia zao.

04

Meneja wa  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki  inayoundwa na mikoa  mitano ya Dar es Salaam, Morogoro,Pwani, Lindi na Mtwara , Eng.Oscar Mwanjesa  akimkabidhi  mmoja wa wafanyakazi wa TCRA Juhudi Ngoza Kuku baada ya kuwashinda wenzake wakati wa  Family Day iliyofanyika   katika ufukwe wa hoteli ya Livingston Wilayani Bagamoyo .Anayeshudia ni Mhasibu wa Mamlaka hiyo Patrice Lumumba.

05

Watoto wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Kanda ya Mashariki  wakishindana kufukuza kuku wakati wa Family Day iliyofanyika katika ufukwe wa Hotel ya Livingston Wilayani Bagamoyo.

06

Mhasibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki Patrice Lumumba akiongea jambo kwa wafanyakazi wenzake pamoja na familia zao wakati wa siku ya Family Day iliyofanyika katika Hotel ya Livingstoni Wilayani Bagamoyo  jana.

07

Meneja wa  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki  inayoundwa na mikoa  mitano ya Dar es Salaam, Morogoro,Pwani, Lindi na Mtwara , Eng.Oscar Mwanjesa  akimkabidhi  Kuku David Mapunda baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa kukimbia na gunia wakati wa  siku ya Family Day iliyofanyika   katika ufukwe wa hoteli ya Livingston Wilayani Bagamoyo. 

08

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) Kanda ya Mashariki  Eng. Oscar Mwanjesa, akimkabidhi   Zainabu  Sadiki kuku baada ya kuwashinda wenzake   katika shindano la kukimbia na gunia wakati wa siku ya family Day ya wafanyakazi wa Mamlaka hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Livingston Bagamoyo.

09

Baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wakishindana kukimbia na gunia  wakati wa siku ya family Day ya wafanyakazi wa mamlaka hiyo iliyofanyika katika hotel ya Livingston Bagamoyo.

10

Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na familia zoa wakati wa siku ya familyDay iliyofanyika katika Hoteli ya Livingston Bagamoyo.

11

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) Kanda ya Mashariki  inayoundwa na mikoa mitano ya Morogoro,Pwani, Mtwara.Lindi,na Dar es Salaam. Wakiwa katika picha ya pamoja na familia zao wakati wa siku ya family Day iliyofanyika  katika Hoteli ya Livingston iliyop Wilayani Bagamoyo.

 

After Party ya Lady in Red yafana

$
0
0

DSC_0549

Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onyesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania.

…Ally Rehmtulla, Martin Kadinda watunukiwa  vyeti vya mafanikio

Na Andrew Chale

HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya onesho la mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’  usiku wa Jumamosi Februari 22, lilikuwa la aina yake kwa kuvutia watu mbali mbali ndani ya Ukumbi na mgahawa wa kisasa wa Nyumbani Lounge, ambapo pia wadau walikabidhiwa vyeti.

Tukio hilo la aina yake ambalo lilivuta umati mkubwa wakiwemo wadau wa ubunifu na mitindo nchini pamoja na watu maalufu,  Pia walipata  kupita kwenye zuria jekundu (red carpet) na kupata picha za ukumbusho wa tukio hilo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onyesho hilo  kila mwaka, Asia Idarous Khamsin,  aliwashukuru wadau waliojitokeza kwenye halfa hiyo maalumu na kutoa vyeti kwa watu na taasisi zilizoweza kuliunga mkono onyesho hilo pamoja.

DSC_0572

Mama wa Mitindo Bi. Asia Idarous Khamsin akipozi wakati wa zoezi la kugawa vyeti  na models waliovaa mavazi yaliyoonyeshwa kwenye onyesho la kutimiza miaka 10 la Lady in Red lililofanyika hivi karibuni.

 “Tunamshukuru Mungu kwa kufikisha Miaka 10 ya Lady in red,  hadi kufikia hapa, tumeweza kufanya mambo makubwa katika tasnia hii ya ubunifu wa mavazi na jukwaa hili litaendelea kuwa chachu ya mafanikio zaidi na zaidi” alisema Asia Idarous.

Na kuongeza kuwa, jukwaa hilo ndilo pekee lililoweza kuibua wabunifu wakubwa  hapa nchini  huku wengine wakipeperusha vyema bendera ya Tanzania nje ya nchi,  wabunifu hao ni pamoja na Ally Rehmtullah, Martin Kadinda, Ahmed Abdul, Faustin Simon.

DSC_0577

Mwanamitindo wa siku nyingi Fiderine Iranga akipokea cheti kutoka kwa Mama wa mitindo Asia Idarous Khamsin kwa kutambua mchango wake katika tasnia ya mitindo nchini.

Wengine ambao nao wanachipukia kwa sasa akiwemo Salim Ally, Salim Ally, Abdul Mwene,Baby Julieth, Baby Masai na wengine wengi.

Asia Idarous alibainisha kuwa, wapo mbioni kuliboresha jukwaa hilo na kuwa la Kimataifa ikiwemo kushirikisha wabunifu  wa kimataifa  na kufungua milango kwa wabunifu wa ndani kujiuza kimataifa.

DSC_0581

Mwanamitindo mkongwe Fiderine Iranga akimkabidhi zawadi Mama wa Mitindo Bi. Asia Idarous kwenye After party ya kuwashukuru wadau waliofanikisha sherehe za kutumiza miaka 10 ya onyesho la Lady in Red iliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye kiota cha Nyumbani Lounge jijini Dar.

Aidha, katika halfa hiyo pia wageni na wadau waliofika walipata kushuhudia shoo fupi ya mavazi yaliyobuniwa na Lucy Warere  wa Tifu tifu fashions,  Beda Masai na Asia Idarous Khamsini.

Asia Idarous aliwataja wadhamini waliodhamini  halfa hiyo ni pamoja na Times fm, Michuzi media group, MOblog, DTV, Nyumbani Lounge, Darling air, G one Media, Channel Ten, CTN  na wengine wengi.

DSC_0587

Mbunifu wa Mavazi nchini Ally Rehmtullah akipokea cheti cha shukrani ya ushiriki wa onesho la Lady in Red kutoka kwa Mama yake Mlezi Asia Idarous Khamsin.

DSC_0601

Cake ya After Party ya Onesho la Lady in Red iliyoandaliwa maalum kwa kuwashukuru wadau mbalimbali waliofanikisha sherehe za miaka 10 ya Lady in Red nchini.

DSC_0602

Honest Arroy wa 360 Degrees akikata cake kwa niaba ya wadau kwenye After Party ya Lady in Red iliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye kiota cha Nyumbani Lounge.

DSC_0617

Model Richard akililishwa kipande cha cake na Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamsin kama shukrani ya kushiriki maonyesho mbalimbali ya Lady in Red.

DSC_0619

DSC_0621

Wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye After Party ya kusheherekea miaka 10 ya Lady in Red wakitazama matukio mbalimbali kwenye luninga  ndani ya kiota cha Nyumbani Lounge.

DSC_0645

Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Andrew Chale akilishwa kipande cha cake na mmoja wa Models kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliofanikisha tangu kuanzishwa onesho la Lady in Red mpaka leo hii kutimiza miaka 10 kwenye tasnia ya mitindo nchini.

DSC_0631

Wadau wakiwa wamepozi kwenye kiota cha Nyumbani Lounge wakati wa After Party ya Lady in Red iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar.

DSC_0662

Mdau akipata Ukodak na Models.

DSC_0683

Mama wa Mitindo nchini Asia Idarous Khamsin akipata ukodak na mwanamitindo Mustafa Hassanali kwenye After Party ya kuwashukuru wadau walioshiriki kwenye onesho la Lady in Red lililotimiza miaka 10 hivi karibuni.

Maadhimisho ya miaka 37 ya CCM DMV, Balozi Liberata Mulamula mgeni rasmi

$
0
0
 

IMG_3754

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiingia ukumbini siku ya Jumapili Feb. 23, 2014 kwenye sherehe ya maadhimisho ya miaka 37 ya CCM yaliyofanyika College Park, Maryland na kuhudhuriwa na wafuasi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi DMV.

Meza kuu kutoka kushoto ni Ismail (katibu wa Vijina CCM DMV) George Sebo (mwanyekiti CCM DMV) Mhe. Liberata Mulamula (Balozi wa Tanzania nchini Marekani), Mama Kimolo (kitengo cha UWT) na Phanuel Ligate (CCM tawi la California).

Balozi Liberata Mulamula akiwa meza kuu na mwenyekiti wa CCM DMV George Sebo.

Balozi Liberata Mulamula akiongea na wanaCCM DMV na kutoa historia ya chama hicho na kuongelea maswala ya mchakato wa rasimu ya katiba kuhusu swala la raia pacha ukiwemo umuhimu wa bima ya WESTADI kwa ajili ya kusaidia misiba inapotokea na kuwakumbusha Watanzania Nchini Marekani kuhusu sherehe ya miaka 50 ya muungano inayotarajiwa kufanyika Kitaifa Washington, DC April 26, 2014 na kuelezea siku hii ndio siku pekee inayotambulika nchini Marekani.

Mwenyekiti CCM DMV akiongea machache na baadae kumkaribisha Balozi Liberata Mulamula.

 

Balozi Liberata Mulamula akisaidiwa na Mwenyekiti CCM DMV kukata keki.

Balozi Liberata Mulamula katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa CCM DMV.

Balozi Liberata Mulamula akifungua dansi na wanachama wa CCM DMV akiwemo mwenyekiti George Sebo.
kwa picha zaidi bofya hapa

Uzinduzi wa Albamu ya Extra Bongo: Red Carpet ya Dar Live!

$
0
0

Baadhi ya safu ya wanenguaji mahiri wa kiume wa Extra Bongo.

Amini akishoo Love na Linah (kushsoto) pamoja na mwimbaji wake.

Baadhi ya safu ya wanenguaji wa kike mahiri wa Extra Bongo.

Wanenguaji katika pozi poa.

Khadija Kopa na Abdul Misambano wa TOT.

Khadija Kopa, Misambano na ‘Okwi’ shabiki wa Yanga.

Lina na ‘back-up singer’ wake.

Mamaa Winnie Masanja, mama watoto wa mwanamuziki Banza Stone.

Mke wa ‘Mkubwa’ Said Fela (kulia).

Mmoja wa wanamuziki wa Mashujaa Band, Gado.

TX Moshi Jnr wa Msondo Music Band.

Wadau wa Dar Live.

Wasanii Linah na Amini.(Picha: Abdallah Mrisho/GPL)

Pikipiki aina ya Hero Dawn yazinduliwa Tanzania

$
0
0

Astarc2

Mgeni rasmi katika uzinduzi wa aina mpya ya Pikipiki ijulikanayo kwa jina la Hero Dawn Bw. Subhash Patel (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Pikipiki hizo zinazotengenezwa na kusambazwa na kampuni ya Astarc Group leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Astarc Group Bw.Salil Musale na kulia ni Mkurugenzi wa Astarc Group Africa Bw. Sameer Musale.

Astarc10

Astarc3

Bw. Subhash Patel ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Pikipiki mpya aina ya Hero Dawn akijaribu moja ya pikipiki aina ya Hero Karizma inayotengenezwa na kusambazwa na kampuni ya Astarc Group.

Astarc4

Mgeni rasmi katika uzinduzi wa aina mpya ya Pikipiki ijulikanayo kwa jina la Hero Dawn Bw. Subhash Patel (kushoto) akiteta jambo na Afisa Uhusiano wa kampuni ya Astarc Group Bw. Mukesh Joshi  leo jijini Dar es Salaam. kulia ni Mkurugenzi wa Astarc Group Africa Bw. Sameer Musale.

Astarc5

 Mkurugenzi wa Astarc Group Africa Bw. Sameer Musale akitoa historia fupi ya kampuni ya Astarc ambayo ni watengenezaji na wasambazajiwa pikipiki aina ya Hero ambazo zimezinduliwa leo jijini Dar es Salaam. 

Astarc6

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni ya Astarc Group akimkaribisha mgeni rasmi Bw, Subhash Patel (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa aina mpya ya pikipiki ijulikanayo kwa jina la Hero Dawn.

Astarc7

Mgeni rasmi katika uzinduzi wa aina mpya ya pikipiki Hero Dawn  Bw. Subhash Patel akizungumza na waaandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa aina mpya ya pikipiki ijulikanayo kwa jina la Hero Dawn(Pesa zaidi mfukoni) mapema leo jijini Dar es Salaam.

 Astarc8

Mkurugenzi Mtendaji wa Astarc Group Bw.Salil Musale akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa aina mpya ya pikipiki ijulikanayo kwa jina la Hero Dawn (Pesa zaidi mfukoni) mapema leo jijini Dar es Salaam.

 Astarc9

Baadhi ya wananchi wakijibu maswali mbalimbali kuhusu pikipiki aina ya Hero Dawn wakati wa uzinduzi wa pikipiki hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Astarc1

Baadhi ya wananchi wakipata maelekezo kutoka kwa mwakilishi wa Kampuni ya Astarc Group wakati wa uzinduzi wa aina mpya ya Pikipiki ijulikanayo kwa jina la Hero Dawn leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Eliphace Marwa – Maelezo).

Dar Holds Indian Food Festival

$
0
0

Meya wa Kinondoni akipokea zawadi ya unga kutoka kwa mwakilishi wa banda la Azam

Meya wa Kinondoni akipokea zawadi ya unga kutoka kwa mwakilishi wa banda la Azam.

Meya wa Kinondoni Mh.Yusufu Mwenda(kushoto)akifatiwa na balozi wa India Debnath Shaw na familia zao

Meya wa Kinondoni Mh.Yusufu Mwenda(kushoto)akifatiwa na balozi wa India Debnath Shaw na familia zao.

Mh.Yusuf Mwenda(kushoto) na balozi wa India wakipata maelezo kutoka kwa mwakilishi wa Azam

Mh.Yusuf Mwenda(kushoto) na balozi wa India wakipata maelezo kutoka kwa mwakilishi wa Azam.

Mstahiki Meya akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa washiriki wa Lake Gas India Food Festival

Mstahiki Meya akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa washiriki wa Lake Gas India Food Festival.

Mhudhuriaji akipewa maelezo jinsi ya kucheza mchezo wa kulenga shabaha

Mhudhuriaji akipewa maelezo jinsi ya kucheza mchezo wa kulenga shabaha.

Mshindi wa shindano la kutengeneza chapati kwa watoto akipokea zawadi kutoka kwa mwakilishi wa Azam

Mshindi wa shindano la kutengeneza chapati kwa watoto akipokea zawadi kutoka kwa mwakilishi wa Azam.

Mtoto akitengeneza chapati kwenye shindano la kutengeneza chapati kwa watoto chini ya miaka 14

Mtoto akitengeneza chapati kwenye shindano la kutengeneza chapati kwa watoto chini ya miaka 14.

Mtoto akiwa amesimamiwa na wazazi wake akitengeneza chapati katika shindano la kutengeneza chapati kwa watoto chini ya miaka 14

Mtoto akiwa amesimamiwa na wazazi wake akitengeneza chapati katika shindano la kutengeneza chapati kwa watoto chini ya miaka 14.

Mtoto ambaye ni mshindi wa shindano la kutengeneza chapati amebebwa na mama yake akipokea zawadi ya Azam Atta

Mtoto ambaye ni mshindi wa shindano la kutengeneza chapati amebebwa na mama yake akipokea zawadi ya Azam Atta.

Mwakilishi kutoka Lake Gas akibadilishana mawazo na balozi wa India nchini Tanzania

Mwakilishi kutoka Lake Gas akibadilishana mawazo na balozi wa India nchini Tanzania.

Wapishi kutoka kwenye mgahawa wa Haandi wakiwa makini kuandaa chakula

Wapishi kutoka kwenye mgahawa wa Haandi wakiwa makini kuandaa chakula.

Watoto wakifurahia michezo

Watoto wakifurahia michezo.

Watoto wakiwa kwenye shindano la kucheza miziki ya Kihindi

Watoto wakiwa kwenye shindano la kucheza miziki ya Kihindi.

DSCF1021

Wahudhuriaji wakiwa wamekaa .

DSCF1022

Dj akiwa makini kuhakikisha watu wanaburudika na miziki mizuri ya Kihindi

Dj akiwa makini kuhakikisha watu wanaburudika na miziki mizuri ya Kihindi.

Food is an integral part of the Indian culture and Indian subcontinent. Thanks to the multitude of its flavors and aroma, its popularity is quickly increasing, and with it the number of new Indian restaurants. And so a new project is born – the Indian Food Festival.

The First Lake Gas Indian Food Festival was held on Sunday 23rd February at Indian Culture Centre from between 10am to 10pm. The guest of honor of this amazing food festival was the Mayor of Kinondoni municipality His worship, Hon. Yusuf Mwenda and the Indian high commissioner to Tanzania His Excellency, Debnath Shaw.

The Lake Gas Indian Food Festival was aimed at promoting the tantalizing taste to the general Tanzanian Population. The variety ranged from array of kebabs, Tikkas, dossa, street food to various types of Biriani. Apart from the savory dishes, there shall be farsans, mithais, jalebi and all the sweet Indian delicacies.

A lot of people showed up at Indian Culture Centre to celebrate with their families and friends during Lake Gas Indian Food Festival whereby the total number of person in attendance was 1402 including adults and children. There were different activities to keep the children occupied such as jumping castle, paintball shooting, face painting and Azam Chaki Fresh Atta Chapati making competition for the children less than 14 years of age.

There were a total of 11 vendors and 20 chefs at the Food Festival. The successes of the First Lake Gas Indian Food Festival has culminated in the festival being held three times a year with the next scheduled for Sunday 22 June 2014

The Lake Gas Indian Food Festival gives you the unique opportunity to try delicious Indian dishes from various Indian Restaurant and Caterers, enjoy a special menu, compare dishes and discover new flavors!

Lake Gas Indian food festival was proudly sponsored by Lake Gas Ltd, Indian Culture centre, The Peoples Bank of Zanzibar, Azam Chaki fresh Atta, Queens Jewellers, The quick print shop, ultimate security, century cinemax, prime advertising, Eventlites, Michuzi blog, missiepopular and 361 degrees.

Skylight Band yazidi kukonga nyoyo mashabiki zake, ni Ijumaa hii tena pale Thai Village

$
0
0

DSC_0303

 Joniko Flower akiongoza safu ya Skylight Band kutoa burudani kwa mashabiki wa Bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye kiwanja chao cha Nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar…. Ni kila Ijumaa zote za wiki wanakuwa hapo kwa ajili ya kuwapa burudani mashabiki wake!!!

DSC_0229

DSC_0244

Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 na Winfrida Richard wakiwajibika jukwaani kuwapa utamu mashabiki wa Skylight Band.

DSC_0253

Hashim Donode na Winfrida Richard wakitawala jukwaa huku wakisindikizwa na Digna Mbepera pamoja na Mary Lucos.

DSC_0173

Madiva wa Skylight Band wakisaka Dough……. Kutoka kushoto ni Winfrida Richard, Mary Lucos na Digna Mbepera.

DSC_0284

Babu Athumani akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band.

DSC_0163

Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakisebeneka taratibu bila jasho..!!!

DSC_0322

Mheshimiwa Bundala akiwa na kijana wake Emmanuel Francis (wenye vest) wakisebeneka na midundo ya Skylight Band.

DSC_0366

Hapo ni Yachuma chuma mwanzo mwisho…!!

DSC_0334

Skylight Band ndio habari ya mujini usiku wa leo ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0337

Pananogaje……Picha inaongea…!!

DSC_0347

Wadau wakishow love na Ukodak.

DSC_0361

Wadau wa Skylight Band wakipata Ukodak. 

DSC_0385

Mchezaji mkongwe wa Kabumbu John Mwansasu akishow love na Lubea wa Skylight Band pamoja na mdau ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0353

Mdau Dagma (mwenye miwani), Pacha wa Customer Care, Lubea pamoja na Mdau wakipata Ukodak.


Despite poaching Tanzania’s tourism sector generates nearly 4 billion USD annually

$
0
0

DSC_0549

Embassy of the Federal Republic of Germany in Dar, Charge d’Affaires,  Mr Hans Koeppel speaks to Hyatt Regency the Kilimanjaro Hotel, General Manager, Trevor Saldanha during the cocktail party organized by the Germany Embassy in Dar to honour for tour operators who are going to Berlin to attend International Travel show.(All photos by Zainul Mzige).

By Damas Makangale and Caroline Alexandra, MOblog Tanzania

Despite news of wildlife poaching in Tanzania the current statistics show that the country is generating nearly 4 billion USD in the tourism sector; equal to 13% of the GDP MOblog can report.

Speaking to invited dignitaries at the cocktail party organized by the Embassy of the Federal Republic of Germany in Dar es Salaam, Chargé d’affaires Mr. Hans Koeppel said that after gold, tourism is the largest source of foreign exchange bringing 1.7 billion USD.

He said that for nearly 50 years the ITB has been the driving force in the worldwide travel industry with more than 170,000 visitors. Among these 113,000 trade visitors and 11,000 represented companies from 180 countries.

DSC_0558

Minister for Natural Resources and Tourism Lazaro Nyalandu and some of the  invited dignitaries to bid a farewell to Tanzanian tour operators and tourism associations members who are leaving the country to Berlin to attend a top travel destinations to the world’s tourism professionals in Berlin.

Mr Koeppel further noted that it opens its doors on Wednesday 5th March through to Sunday 9th March 2014.

“About 80 Tanzanian companies such as hotels, tourism associations and tour operators are going to present Tanzania as a top travel destination to the world´s tourism professionals represented in Berlin,”

“Next week you will have the chance to promote Tanzania’s image as a top tourist destination with highly attractive and unique sites.” He noted.

He further said that regular participation in the ITB for the last decades has given Tanzania access to lucrative markets not only in Europe but worldwide. “German tourists to Tanzania rank only fourth by numbers, but the picture changes when you look at the length of the stay as well as the return travels,” he added.

Mr Koeppel underscored that their common goal is strengthening the cultural and economic ties of the two countries and the ITB offers a golden opportunity to foster the exchange of German tourists and Tanzanian citizens.

DSC_0560

He said that from its humble beginnings nearly 50 years ago, the ITB has evolved to be the world’s leading travel trade show. Exhibitors from 180 countries on 160,000 square meters attract 170,000 visitors and generate 5 billion Euros in revenues.

“Nevertheless, I am happy that around 80 Tanzanian tourism companies will be part of the ITB since there is still great potential in the German market,”

“In order to tap into this potential, to mine this green gold vein, we need to start by securing its pillars. Safety comes first: this golden rule applies to any major endeavor,”

“But especially to tourism. It is therefore in all of our foremost interest to keep peace and prevent any strike – as for instance the bombings in Zanzibar this week – from putting our common endeavor at risk,” he said.

He clarified that natural resources and wonders are under pressure by climate change and the recent poaching boom will need local and international cooperation to curb the malpractices.

DSC_0553

On his part, Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu said that the ITB will host the world.

He responded to wildlife poaching by saying that there needs to be a government call for a global ban in the trade of ivory and rhino horn, as a new wave of poaching is threatening its elephant and rhino population.

Nyalandu said a new census at the Selous-Mikumi ecosystem, one of the country’s biggest wildlife sanctuaries, revealed the elephant population had plummeted to just 13,084 from 38,975 in 2009, representing a 66-percent decline.

He said elephant slaughter in Tanzania declined sharply after 1987 when the government launched a major anti-poaching operation, which led to an increase in herds from 55,000 in 1989 to 110,000 in 2009.

But the poaching has revived in recent years, driven by fast-rising demand for Ivory and Rhino Horn in Asia in tandem with growing Chinese influence and investment in Africa.

DSC_0569

Minister for Natural Resources and Tourism Lazaro Nyalandu speaks to invited dignitaries to bid a farewell to Tanzanian tour operators and tourism associations members who are leaving the country to Berlin to attend a top travel destinations to the world’s tourism professionals in Berlin.

DSC_0587

Cake by Hyatt Regency the Kilimanjaro Hotel.

DSC_0593

Minister Nyalandu and Mr Koeppel cut a cake during the official cocktail party hosted by the Germany Embassy to tour operators.

DSC_0598

DSC_0600

“This is for you Madam, I wish you a safe Journey and All the Best”… Minister Nyalandu.

DSC_0606

Managing Director of  Flight Link, Capt. Munawer Dhirani (left) poses for photograph with the Managing Director of Savannah Tours Ltd. Mr. Cliff F. D’Souza during bid a farewell to Tanzanian tour operators and tourism associations members who are leaving the country to Berlin to attend a top travel destinations to the world’s tourism professionals in Berlin.

DSC_0498

Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu introduced by the Mr Hans Koeppel to some of the Germany Embassy officials.

DSC_0509

DSC_0481

Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu shares a light moment with Brazilian Ambassador to Tanzania, Hon Francisco Carlos Soares Luz  at the cocktail party hosted by the Germany Embassy to bid a farewell to tour operators who are going to Berlin, for the International Travel show (ITB).

DSC_0513

Tanzania Tourist Board (TTB), Dr Aloyce Nzuki exchanges views with Executive Director of Tanzania Investment Centre (TIC) Juliet Kairuki at the cocktail to bid farewell to 80 Tanzanian companies such as hotels, tourism associations and tours operators who are going represent Tanzania at a top travel destination in Berlin the function was held at Hyatt Kilimanjaro hotel on Wednesday this week.

DSC_0469

Embassy of the Federal Republic of Germany in Dar, Charge d’Affaires,  Mr. Hans Koeppel shares a light moment with Hyatt Regency the Kilimanjaro Hotel, General Manager, Trevor Saldanha at the cocktail party hosted by the Germany Embassy to bid a farewell to tour operators who are going to Berlin, for the International Travel show (ITB).

DSC_0483

Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu exchanges views  with the Managing Director of Savannah Tours Ltd. Mr. Cliff F. D’Souza together with Brazilian Ambassador to Tanzania, Hon Francisco Carlos Soares Luz.

DSC_0465

Above and below are Some of the tourism associations members and tours operations at the function to bid a farewell to them.

DSC_0524

DSC_0490

DSC_0471

Tamasha la ‘Shtuka Sasa’ la Zantel lapongezwa na wananchi Zanzibar

$
0
0

Moja

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Chege Chigunda akiimba kwenye onesho la muziki kisiwani Zanzibar iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya mkononi ya Zantel iitwayo Shtuka Sasa.

Mbili

Madee akitoa burudani kwenye onesho la muziki kisiwani Zanzibar iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya mkononi ya Zantel iitwayo Shtuka Sasa.

tatu

Dogo Asley akifanya yake jukwaani kwenye onesho la muziki kisiwani Zanzibar iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya mkononi ya Zantel iitwayo Shtuka Sasa.

Idadi kubwa ya wananchi waliohudhuria tamasha la wazi la ‘Shtuka Sasa’ lililoandaliwa na kampuni ya simu za mikononi ya Zantel mwishoni mwa wiki hii wameipongeza kampuni hiyo kwa kuwaletea burudani hiyo visiwani hapa.

Tamasha hilo lililofanyika katika Uwanja wa Kiembe Samaki lilihudhuriwa na maelfu ya wakazi wa kisiwani humo ambao waliimba na kucheza na wasanii hao, liliandaliwa ili kuwapa fursa wateja wa Zantel kujifunza zaidi kuhusu huduma za kampuni hiyo.

Likitumbuizwa na wasanii wakali wa muziki wa kizazi  kipya kama Chege, Madee, Dogo Asley, tamasha la Shtuka Sasa, lilifanikiwa kukonga nyonyo za wakazi wa Zanzibar kwa kiasi kikubwa.

Akizungumza wakati wa tamasha hilo, Afsa Biashara Mkuu wa Zantel, Sajid Khan alisema tamasha hilo ni mfululizo wa mengine yatakayofanyika nchi nzima ili kuwapa fursa wateja wao kuzitambua zaidi huduma za Zantel na kuzifurahia.

‘Toka mwaka huu uanze, Zantel imejikita kwenye kuwaelimisha wateja kuhusu ubora wa huduma zetu kupitia matamasha, ambayo yatafanyika nchi nzima’ alisema Khan.

Tamasha la Zanzibar lilifunguliwa na wasanii wa kikundi cha B-Six wakifuatiwa na msanii Sultan King ambaye ni mmoja wa wasanii wanotamba sana kisiwani Zanzibar kwa sasa.

Wasanii wengine waliopokewa kwa shangwe kubwa ni Dogo Aslay na bendi yake ya Mkubwa na Wanawe  ambao waliimba nyimbo zao kali kama ‘Mapenzi ya Kitoto’ na nyingine nyingi.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria tamasha hilo wameipongeza kampuni ya Zantel kwa kuwaandalia burudani hiyo kisiwani hapo.

‘Kama kampuni inayoongoza kisiwani hapa tunaishukuru Zantel kwa kutuletea burudani nzuri ambayo pia imetupa fursa ya kujifunza zaidi kuhusiana na huduma zinazotolewa na kampuni yetu kama Mpaka Basi na nyinginezo’ alisema Ashfa Mohamed, mmoja ya mashabiki waliohudhuria tamasha hilo.

Pia ikiwa ni mwendelezo wa kampeni yake kuhamasisha wateja wao kusajili laini za simu, Zantel pia ilitumia tamasha hilo kusajili laini za wateja wao kupitia mabanda yaliyosambazwa uwanja mzima.

Skylight Band yaendelea kuwapa raha mashabiki wake, ni Ijumaa hii tena @ Thai Village

$
0
0

DSC_0031

Vijana wa Skylight Band wakitoa burudani Ijumaa iliyopita kwa mashabiki wao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar… Burudani inaendelea kama kawaida tukutane tena leo jioni……ni balaaaaa..!

DSC_0019

Divas wa Skylight Band… Kutoka kushoto ni Digna Mbepera, Mary Lucos na Aneth Kushaba AK47 wakikonga nyoyo za mashabiki wao ndani ya kiwanja chao cha nyumbani Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0042

Mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga kwenye dancing floor.

DSC_0037

Rapa Joniko Flower akiongoza kikosi cha Skylight Band kutoa burudani ya aina yake Ijumaa iliyopita.

DSC_0056

Mbwembwe za mashabiki wa Skyight Band pale burudani inapokolea watu humwaga radhi.

DSC_0059

Kwa raha zao huku burudani ikiendelea.

DSC_0062

Mpiga Tumba wa Skylight Band Daudi akifanya yake jukwaani…! 

DSC_0071

Hela yako haipotei bure kwa burudani kama hii… ni balaaa…! 

DSC_0098

Sam Mapenzi akipagawisha mashabiki wa Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita…Pichani ni mdau Alois Ngonyani akionekana kukunwa na uimbaji wa kijana Sam Mapenzi.

DSC_0093

Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo akiburudika na mmoja wa mashabiki wa Skylight Band.

DSC_0083

DSC_0113

Muziki wa pwani a.k.a mduara ulihusika pale kati.

DSC_0121

Mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga na mduara.

DSC_0125

Palikuwa hapatoshi hapo kati.

DSC_0072

Wadau wa Skylight Band wakishow love na Ukodak.

DSC_0126

Mwanafamilia wa Skylight Band Victor Maginga (kulia) akiwa na DJ Peter Moe pamoja na mdau wakipata Ukodak.

DSC_0094

Aneth Kushaba AK47 akishow love na washirika wakubwa wa Skylight Band Alois Ngonyani (katikati) pamoja na Emmanuel Francis.

Skylight Band yatikisa jiji la Dar kwenye ‘Nyama Choma Festival’ ndani ya viwanja vya Posta

$
0
0

DSC_0472

Sam Mapenzi na Sony Masamba wakitoa burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma lililofanyika Jumamosi hii kwenye vianjwa vya Posta jijini Dar ambapo Skylight Band iliongoza kwa kukusanya mashabiki lukuki.

DSC_0471

Sam Mapenzi wa Skylight Band akishindana na mmoja wa mashabiki kucheza wimbo wa Davido SKELEWU.

DSC_0441

SKELEWU SKELEWU SKELELEEE…….!!

DSC_0435

DSC_0491

DSC_0446

DSC_0504

 Vijana wa Skylight Band wakishambulia jukwaa.

DSC_0478

Mashabiki wakijiachia wakati Skylight Band ilipokuwa ikitumbuiza kwenye Tamasha la Nyama Choma lilofanyika Jumamosi hii ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.

DSC_0413

Winfrida Richard (katikati), Hashim Donode pamoja na Digna Mbepera wakiwapa raha  mashabiki wa Skylight Band kwenye tamasha la Nyama Choma ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.

DSC_0415

DSC_0499

Burudani zilikuwa nyingi kwenye tamasha la Nyama Choma lakini Skylight Band ilifunika kwenye kuteka mamia ya mashabiki.

DSC_0462

Umati wa wakazi wa jijini Dar wakipata burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma wakati Skylight Band ikitumbuiza.

DSC_0473

DSC_0460

Mashabiki wa Skylight Band waliamua kupanda jukwaani na kuonyeshana ufundi.

DSC_0453

Dar es Salaam are you feeling the music……….yeah……!!!

DSC_0481

Daudi Tumba na mpiga Bass wa Skylight Band Chili Chala wakifanya yao jukwaani.

DSC_0418

Mdau Laurean Kiiza akishusha kinywaji chake baridi…ilikuwa ni mara yake ya kwanza kushuhudia Live Performance  ya Skylight Band na sasa ameahidi kuwa mdau mkubwa wa Bendi hiyo.

DSC_0433

Ukizingatia ilikuwa ni siku ya Wanawake Duniani walipataje raha na Skylight Band….!

DSC_0518

Mtaalam wa Nyama Choma akifanya yake ndani ya viwanja vya Posta.

DSC_0516

Kuku wakiwa kwenye hatua za maandalizi.

DSC_0424

Familia ya Skylight Band ikiongozwa na Mkurugenzi mkuu wa Band hiyo Dr. Sebastian Ndege.

DSC_0535

Mmilikiwa Duka la Zuri Fashion Boutique, Fashionista ambaye pia ni Blogger dada Jestina George akishow love na shemeji yake kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika kwenye viwanja vya Posta.

DSC_0524

When Bloggers meet! Operations Manager wa MOblog Zainul Mzige akipata ukodak na Blogger Jestina George…hawa jamaa walikuwa wakiwasiliana kwa njia ya barua pepe katika kupashana habari, hatimaye walikutana uso kwa uso kwenye Nyama Choma Festival ndani viwanja vya Posta.

DSC_0399

Pichani juu na chini ni baadhi ya wadau walihudhuria Nyama Choma Festival iliyofanyika Jumamosi hii kwenye viwanja vya Posta jijini Dar.

DSC_0556

Mzee wa Skonga ya EATV Allan Lucky akishow love na warembo ndani ya Nyama Choma Festival.

DSC_0511

DSC_0522

Mrs. Lucky pamoja na wifi yake.

DSC_0560

DSC_0579

Mdau Emmanuel akishow love na mrembo wa ukweeeh ndani ya viwanja vya Posta.

DSC_0571

Model Danny David pamoja na Noel Ndale wakipata Ukodak kwenye Nyama Choma Festival.

DSC_0576

Noel Ndale akishow love na mrembo kwenye band la Jack Daniel’s.

DSC_0574

Balozi Mulamula awapongeza Tano Ladies katika siku ya wanawake Duniani

$
0
0
Na Mwandishi wetu.

Katika sherehe ya kuadhimisha Siku ya kimataifa ya wanawake duniani, Mgeni rasmi Balozi wa Tanzania Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mulamula amewapongeza Tano Ladies kwa uwezo wao mkubwa wa kufanikisha wito wao wa kuwaweka pamoja wanawake wa Tanzania pamoja na kusherehe International Women’s Day (IWD) siku ya March 8 inayosherehekewa kila mwaka ulimwenguni.

SONY DSC

Balozi wa Tanzania Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mulamula wa tano kutoka kulia akiwa na kundi zima la wajasirimali pamoja na Tano Ladies waliopiga goti pichani wakiwa kwenye sherehe za wanawake duniani aliyoandaliwa rasmi na Tano Ledies Siku ya Jumamosi Murch 8, 2014 ndani ya ukumbi wa Hampton Inn uliopo College Park Maryland Nchini Marekani.

Na pia kuweza kuwakusanya wanawake wajasirimali wa Tanzania kutoka sehemu mbalimbalina kwa kuweza kuonyesha ujuzi wao na kuweza kusherehekea sherehe hizo zinazofanyika kila Mwaka, March 8 duniani kote.

Balozi Liberata Mulamula aliaaza kwa kuwapongeza na kuwahamasisha kundi zima la Tano Lades kwa kazi nzuri waliofanya kwa ushirikiano na wanawake wenziwao wenye kuleta umoja na mshikamano katika kuendeleza maendeleo katika jamii ya waTanzania waliyopo hapa Amarekani.

Katika sherehe hizo Mhe Mulamula alikutana na wanawake wajasirimali mbali mbali waliweza kuweka meza zao ndani ya ukumbi na kutembelea meza moja baada ya moja na kupata maelezo ya kila mjasirimali katika biashara nazozifanya.

Balozi Mulamula liendelea kwa kuwasifu wanawake wajasirimali wakitanzania na kuwakabidhi vyeti katika siku hiyo adhimu ilioandaliwa rasmi na Tano Ladies.

Sherehe hizo zilitumbuizwa kwa nyimbo na wasichana waTanzania kutoka kwa Mama Jessica Kamala Mushala, pamoja na kundi zima la Taratibu Youth Association, kutoka Mount Rainier Maryland, na muimbaji Erica Lulakwa Glenn mTanzania kutoka San Francisco California, katika sherihe hizo zilizofanyika kwenye ukumbi wa Humton in College park Maryland nchini Marekani.

Balozi wa Tanzania Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mulamula akipata maelezo mafupi  ya afya kutoka kwa Herriet Shangiraifupi wa Nesiwangu,bofya  hapa kutembelea blog yake nesiwangu.blogs
Mhe. Liberata Mulamula alipotembelea meza ya Nashona Bibie Lilian Danieli kutoka North Carolina.

Mjasirimali Maria Mohamed alipokua kwenye meza yake ya Bahari Deco Crafts Style the Swahili way kwenye sherehe za wanawake duniani aliyoandaliwa rasmi na Tano Ledies Siku ya Jumamosi Murch 8, 2014 ndani ya ukumbi wa Hampton Inn uliopo College Park Maryland Nchini Marekani.

Balozi wa Tanzania Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mulamula akipata maelezo mafupi kutoka kwa mbunifu wa mishono ya Madira Salha Mwamende pamoja na familia yake siku ya kimataifa ya wanawake duniani.

Mtunzi wa kitabu cha Taste of Tanzania Miriam Rose Kinunda akiweka saini kwenye kitabu cha mteja alienunua kwenye maadhimisho ya Siku ya mwanamke duniani.

Mtaalamu wa matatizo ya mitandao (Computer Super Technician) Bi Mamina Yas akiwa katika utambulisho wa meza ya ujasirimali mwanamke anaweza kushuhulikia matatizo ya computer yako wakati wowote pale inapopatwa na matatizo ndani ya maeneo ya DMV unaweza kuwasiliana nae kama mkaazi wa maeneo haya. (Picha zote na swahilivilla.blogspot.com)

Jacqueline Wolper, Dully Sykes, Linah Sanga, Sheta na Gelly wa Rhymes waifagilia Skylight Band ni Ijumaa hii tena

$
0
0

DSC_0344

Rapa Joniko Flower akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku wenzake wakisebeneka ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita pamoja na Ijumaa zingine za kila wiki.

DSC_0350

Mdau wakijiachia na mrembo wa kizungu…Chezea Skylight Band wewe….ni Balaaa!

DSC_0366

Mashabiki wakila raha za Skylight Band! Mguu wa kushoto mbele wa kulia nyuma……..!

DSC_0177

Sam Mapenzi wa Skylight Band akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo sambamba na Joniko Flower, Mary Lucos pamoja na Sony Masamba Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0293

Watuache sie kwa raha zetu…warembo wakisakata burudani ya Skylight Band.

DSC_0172

Aneth Kushaba AK47 na Winfrida Richard wa Skylight Band wakiwapa raha wapenzi wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya ukumbi wa Thai Village.

DSC_0343

DSC_0299

Pale mzungu asiposikia la mwazini wa la mnadi sala……burudani ikikolea basi tena……Skylight Band iko juu…!

DSC_0207

Hashim Donode na Winfrida Richard wakifanya yao jukwaani kuhakikisha mashabiki wao wanapata burudani adhimu.

DSC_0321

Palikuwa hapatoshi…Tukutane tena leo jioni kuanzi saa 21:30 usiku.

DSC_0379

Petit Money akishow love na star wa Bongo Movie Jacqueline Wolper a.k.a Wolpergambe ikiwa ni mara yake ya kwanza kushuhudia burudani ya Skylight Band.

DSC_0376

Gelly wa Rhymes akipata Ukodak  na Sister wake All the way from Sweden.

DSC_0363

DSC_0360

Gelly wa Rhymes pamoja na Dully Sykes a.k.a Mr. Misifa wanakwambia kitambi noma…..ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0346

All the way from Mwanza……DVJ Frank wa Club Jembe ya Skylight Beach Resort ya jijini Mwanza (mwenye ya mistari) wakipagana Ukodak wa kumbukumbu na marafiki zake walipokuja kula bata na Skylight Band.

DSC_0211

Mdau Neema Mbuya alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa na kujumika na Skylight Band Ijumaa iliyopita, akiwa ameambatana na msururu wa warembo waliowahi kushiriki taji la Miss Tanzania miaka iliyopita.

DSC_0175

Birthday Girl Neema Mbuya (kulia) na marafiki zake ndani ya Thai Village.

DSC_0217

Birthday Girl Neema Mbuya akiimbiwa na marafiki zake pamoja na Skylight Band wakati wa kukata cake.

DSC_0230

Birthday Girl Neema Mbuya awalisha  mashosti zake.

DSC_0231

DSC_0234

DSC_0237

Usikosee Ijumaa hii unakosa kuosha macho na warembo wa ukweli…!

DSC_0246

Ikaja zamu ya vijana wa Skylight Band.

DSC_0249

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akilishwa cake na Birthday Girl Neema Mbuya.

DSC_0263

Pichani juu na chini ni Ukodak moment na wadau wanguvu wa Skylight Band.

DSC_0259

DSC_0266

DSC_0356

Familia ya Skylight Band…kutoka kushoto Joshua Ndege, Justin Ndege, Eddie vied, na Luhano Lupogo.

DSC_0269

Mdau Faraja Fares (kushoto) akishow love na mrafiki zake kwenye kiota cha Thai Village ilipokuwa inatumbuiza Skylight Band Ijumaa iliyopita.

DSC_0386

Winfrida Richard pamoja na mdau Emmanuel Francis wakipata Ukodak.

DSC_0388

 Msanii wa Bongo flava Sheta akishow love na Wasiwasi Mwambulambo wakati burudani ya Skylight Band ikiendelea.

DSC_0394

 Lubea wa Skylight Band akishow love na Diva wa Bongo Flava Linah Sanga pamoja na Petit Money.

Familia ya Marehemu Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma yaendesha misa maalum ya Shukrani jijini Dar

$
0
0

DSC_0496

Mchungaji John Muhina wa kanisa Anglikana la Mtakatifu Andrea la Magomeni Mwembechai, akiendesha Ibada bya Misa maalum ya Shukrani kufuatia kifo cha Marehemu Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma (100), aliyeaga dunia  Ijumaa ya tarehe 17 January,2014 katika hospitali ya Mount Ukombozi na kupumzishwa katika nyumba yake ya milele tarehe 19 January, 2014 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar.

DSC_0486

Familia ya Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma ikishiriki misa maalum ya kutoa shukrani iliyofanyika mwishoni mwa Juma jijni Dar.

DSC_0491

DSC_0551

Mchungaji John Muhina wa kanisa Anglikana la Mtakatifu Andrea la Magomeni Mwembechai akimrithisha kiti alichopenda kukaa marehemu wakati wa ibada za Jumapili kanisani hapo mmoja wa watoto wa Mzee Arnold Nkhoma Bw. Amos Nkhoma.

DSC_0554

Baadhi ya wajukuu na vitukuu wa  Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma, wakiwa kwenye misa maalum ya kutoa shukrani iliyofanyika jijini Dar.

DSC_0562

Familia ya Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma ikitoka kanisani mara baada ya misa maalum.

DSC_0595

Babu wakiwa na  mmoja wa vitukuu wa Marehemu Mzee Arnold Nkhoma.

DSC_0607

Michael Nkhoma, ndiyo mtoto mkubwa wa marehemu, akiongea na mdogo wake Amos Nkhoma. Kulia ni Aidan Nkhoma.

DSC_0626

Bi. Usia Nkhoma Ledama akiwa kwenye picha ya kumbukumbu na baba yake mkubwa Michael Nkhoma,(kushoto) na Mzee Aidan Nkhoma.

DSC_0608

Mama na Mwana wakijichukua taswira.

DSC_0642

Familia ya Marehemu Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma wakiwasha mishumaa kwenye kaburi la Mzee Arnold Nkhoma mara baada ya misa maalum ya shukrani iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar.

DSC_0664

Mmoja wa vitukuu wa Marehemu Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma akiweka shada la maua kwenye kaburi la babu yake.

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.AMEN.

DSC_0679

Ndugu, jamaa na marafiki walipojumuika nyumbani kwa nyumbani kwa Profesa Alice Nkhoma Wamunza, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa ajili ya chakula cha mchana.

DSC_0750

Profesa Alice Nkhoma Wamunza, akiongoza ndugu, jamaa na marafiki kwenye chakula mchana baada ya misa ya shukrani ya Marehemu Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma.

DSC_0706

DSC_0729

DSC_0776

DSC_0732

DSC_0801

DSC_0714

Bi. Usia Nkhoma Ledama akiwa na baadhi ya marafiki zake waliojumika nae kwenye chakula cha mchana baada ya kushiriki misa maalum ya shukrani kufuatia msiba wa babu yake Marehemu Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma.

DSC_0815

Bi.Usia Nkhoma Ledama akiteta jambo na mfanyakazi mwenzake Bw. Phillip Musiba.

DSC_0820

Baadhi ya Vitukuu vya Marehemu Mzee Arnold Kambonapani Nkhoma kwenye picha ya kumbukumbu.


Mzee Mwinyi azindua tawi la Benki ya KCB Shariah Jijini Dar

$
0
0

_DSC4373

Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi (Katikati)akizindua tawi jipya la Benki ya KCB Shariah Lililopo barabara ya Lumumba jijini Dar es Salaam, litakalotoa  huduma kwa kuzingatia maadili ya kiislamu,ambapo watapata mikoipo isiyokuwa na riba .Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania  Moezz Mir, wapili kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa benki hiyo Dr.Edmund Mndolwa na wakwanza Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Shariah wa benki hiyo Uzairu Athuman.

_DSC4392

Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi akifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi jipya la Benki ya KCB Shariah Lililopo barabara ya Lumumba jijini Dar es Salaam.

_DSC4428

Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi akiteta jambo na Mwenyekiti wa benki hiyo Dr.Edmund Mndolwa mara baada ya kuzindua tawi jipya la Benki ya KCB Shariah Lililopo barabara ya Lumumba jijini Dar es Salaam.

_DSC4464

Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi (Katikati)akimkabdhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni kumi,Mwenyekiti wa yatima Group Trust Fund Winfrida Lubanza kwaajili ya kuendeleza kilimo cha kisasa wakati wa uzinduzi tawi jipya la Benki ya KCB Shariah Lililopo barabara ya Lumumba jijini Dar es Salaam.kushoto ni ni Mwenyekiti wa bodi wa benki hiyo Dr.Edmund Mndolwa na  watatu toka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Tanzania  Moezz Mir.  

Skylight Band inakufanya uanze week-end yako kwa kutabasamu ni leo ndani ya Thai Village

$
0
0

DSC_0302

Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Digna Mbepera pamoja na Winfrida Richard.

DSC_0304

DSC_0313

Winfrida Richard na Hashim Donode wakisongesha burudani sambamba na Aneth Kushaba AK47 pamoja na Digna Mbepera.

DSC_0346

Mashabiki wakijimwaga na burudani ya Skylight Band ambapo kila Ijumaa wanapatikana pale Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0363

Aneth Kushaba AK47 akiburudika na shabiki wa Skylight Band.

DSC_0377

Pata picha burudani wanayoipata mashabiki hawa wa Skylight Band ambayo ni habari ya mujini kwa sasa..!!! Usipitwe njoo wewe na yule Ijumaa hii.

DSC_0371

Fursa ndio mpango mzima…njoo uonyeshe ufundi wako leo.

DSC_0401

Shake what’cha  your Mama gave yaaa….!!! Wamejaaliwa mashalaah…

DSC_0414

Digna Mbepera na Winfrida pale waliponogewa burudani ya Bendi yao Skylight.

DSC_0397

Mzuka wa Aneth Kushaba AK47 pale burudani inapomkolea nae husindikiza mashabiki kwa style ya aina yake.

DSC_0393

Miziki ya Pwani ilihusika kama inavyooneka picha….Pale kati….!

DSC_0451

Shabiki akifungua Champagne kusheherekea siku ya kuzaliwa pamoja na Skylight Band, ambapo zawadi ilikuwa ni kuimbiwa wimbo maalum wa Happy Birthday.

DSC_0452

Birthday Girl akipata Ukodak.

DSC_0380

Mdau mkubwa wa  Gerald Kilimo akishow love na Aneth Kushaba AK47.

DSC_0399

Winfrida na Petit Money wakipata Ukodak.

DSC_0366

DSC_0340

Mdau Dagma (mwenye miwani) akiwa na marafiki ndani ya kiota cha Thai Village.

DSC_0300

Birthday Girl Mama Sabrina Chicago akilishwa kipande cha cake mupenzi wake Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village huku Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akishuhudia tukio hilo adhimu.

DSC_0432

Kutoka kushoto Petit Money, Claudi wa Maisha Club na Aneth Kushaba AK47 wa Skylight Band.

DSC_0430

Petit Money akipata ukodak na Mdau Claud wa Maisha Club.

DSC_0424

Neema Mbuya na Winfrida Richard wakishow love.

DSC_0457

Hapa ni harufu ya pesa tuuuu… Tajiri kubwa David akipata Ukodak.

DSC_0459

Joshua Ndege (katikati) na ndugu zake.

DSC_0461

Mdau Alois Ngonyani na flowers wa Skylight Band.

DSC_0464

We are Skylight Band Fans!

Skylight Band yazidi kuwakuna mashabiki wake ndani ya kiota cha Thai Village

$
0
0

IMG_5118

 Waimbaji wa Skylight Band kutoka kushoto Hashim Donode, Digna Mbepera, Winfrida Richard na Aneth Kushaba AK47 wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar…Ni Ijumaa zote wako Thai Village bila kusahahu Jumapili kwenye Family Day Bonanza ndani ya kiota cha Escape One Mikocheni.

IMG_5100

Raia wa kigeni (Watasha) wakionekana kuchizika na burudani ya Skylight Band.

IMG_5139

Hashim Donode na Winfrida Richard wakifanya yao jukwaani.

IMG_5164

Winfrida Richard akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Ban (hawapo pichani) huku Aneth Kushaba AK47, Hashim Donode na Digna Mbepera wakisebeneka.

IMG_5185

Burudani mwanzo mwisho ndani ya kiota cha Thai Village…Hapana chezea Skylight Band.

IMG_5189

Sam Mapenzi sambamba na Hashim Donode na Sony Masamba wakikonga nyoyo za mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

IMG_5216

Na watuache kwa raha zetu… Skylight Band ndio habari ya mujini.

IMG_5218

Mwanadada akisuuzika na burudani ya Skylight Band.

IMG_5110

Sony Masamba na Mpiga drum wa Skylight Band Idrissa wakionesha ufundi wao wa kusakata sebene kwa mashabiki wao.

IMG_5219

Mpiga Solo wa Skylight Band, Allen Kisso Mzuzu akifanya yake jukwaani.

IMG_5231

Mashabiki wakifanya yao kwa dancing floor….ni raha….!

IMG_5240

Chukua baba umeukonga moyo wangu……Sam Mapenzi akitunzwa na shabiki wake.

IMG_5233

Mamia ya mashabiki wa Skylight Band wakisebeneka na burudani ya aina…ni Skylight Band pekee inakupa burudani adhimu kama hizi…..!!!

IMG_5234

Watu weweeeeeeee ngoma inogile….Skelewu…..Skelewu……!!

IMG_5238

IMG_5228

Naitwa Aneth Kushaba AK47 na hizi ndio swagga zangu…Njoo leo tuimbe na kucheza wote ndani ya Thai Village Masaki jijini Dar.

IMG_5183

Jambo Tanzania….We are number one fans of Skylight Band…!

 

Sherehe ya kutimiza miaka 3 ya Bongo Movie yafana jijini Dar kwa udhamini wa WINDHOEK

$
0
0
 

Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Mengele (Nyerere) akihojiwa na waandishi wa habari wakati wa sherehe ya Kutimiza miaka 3 ya Klabu ya Bongo Movie, sherehe iliyofanyika katika Ukumbi wa East 24 uliopo Katika Jengo la Arcade Mikocheni, Mwishoni mwa Wiki.

Warembo wakiwa wamebeba Chupa za Windhoek zinazosambazwa na kuuzwa na Kampuni ya Mabibo Beer ambao ndio walikuwa wadhamini wakuu wa Sherehe ya Kutimiza Miaka 3 ya Klabu ya Bongo inayoongozwa na Steve Nyerere.

Mwenyekiti wa Makampuni yaliyo chini ya Proin Group Of Companies, Bw Johnson Lukaza akipokea cheti cha kuthaminiwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bongo Movie kama mmoja wa wamiliki wa kampuni ya usambazaji wa kazi za filamu nchini  iitwayo Proin Promotions Limited.

Burudani pia zilikuwepo.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabibo Beer, Mama Benadetha Rugemalila akiongea na waandishi wa habari wakati wa sherehe hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa East 24 uliopo Mikocheni katika jengo la Arcade.

First lady wa B Band inayoongozwa na Baba Zoro.

Wadau wakifuatilia burudani safi kutoka kwa wasanii mbalimbali waliopanda kwenye jukwaa.

Warembo wa Bongo Movie wakiingia ukumbi tayari kwa Kufurahia Miaka 3 ya Kuzaliwa kwa Bongo Movie.

 Nuruel akiendelea kuimba kwa hisia katika sherehe hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki

Mwenyekiti wa Bongo Movie akitoa maneno kwa wageni waalikwa pamoja na wasanii wa Bongo Movie na muziki nchini waliohudhuria sherehe hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa East 24.

Keki ikikatwa kama ishara ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bongo Movie ikiwa imetimiza miaka 3.

bongo 1

Rich Rich akilishwa keki na Mwenyekiti.

 

Mwenyekiti wa Makampuni yaliyochini ya Proin Group of Companies, Bw Johnson Lukaza akihojiwa na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa sherehe ya kutimiza miaka 3 ya kuzaliwa kwa Bongo Movie.

 Bi Mwenda akifurahi kukabidhiwa cheti cha sifa ya kuwa msanii mkongwe
 Mtitu akipokea Cheti kutoka Kwa Mwenyekiti.
 Hawa ndio mabalozi wa Windhoek waliochaguliwa katika sherehe hiyo ya kutimiza miaka 3 ya bongo movie.
 

Mkurugenzi Mkuu wa Mabibo Beer, Mama Benadetha Rugemalila ambae alikuwa mdhamini mkuu wa sherehe hiyo kupitia kampuni ya Mabibo Beer akitoa maneno mawili matatu mara baada ya mabalozi wa Bia ya Windhoek kuchaguliwa.

 Amin Akishusha Burudani 
 Linex akiimba kwa hisia
 Shilole hakuwa nyuma na wimbo wake wa chuna buzi
Christa Bela akitoa vionjo safi kabisa katika sherehe hiyo.

Zanzibalicious kuwakomboa Wanawake

$
0
0

DSC_0271

Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akisaini kitabu cha wageni cha Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja huo zilizofanyika mwishoni mwa juma kwenye Hoteli ya Ocean View Beach Resort mjini Unguja.(Picha zote na Zainul Mzige).

Na. Zainul Mzige, Zanzibar.

UMOJA wa Wanawake wa Zanzibarlicious umeamua kuwakomboa wanawake  kutoka katika utumwa wa kiuchumi kwa kuwawezesha kwa kuwapa ujuzi na maarifa ili kujikwamua kwenye umasikini.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa umoja  huo, Umul-kulthum Ansel wakati wa uzinduzi wa umoja huo kwenye sherehe zilizofanyika mwishoni mwa juma katika Hoteli ya Ocean View Beach Resort mjini Unguja.

Alisema lengo la kuwakwamua wanawake ni kutokana na kuonekana wao na watoto ni waathirika wakuu wa mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa yanayoendelea katika maeneo mbalimbali ulimwenguni hasa katika bara la Afrika.

“Umoja huu umeundwa kwa lengo la kuwashajihisha,kuwahamasisha ,kuwaunganisha na kuwaendeleza wanawake kwa kuwapa ujuzi na maarifa ili waweze kujitambua na kuithamini nafasi yao katika kuleta maendeleo,”alisema.

DSC_0284

Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson (wa pili kushoto) akitoa maelezo ya picha na kazi mbalimbali walizofanya kwa jamii mara baada ya kuwasili mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-Kulthum Ansel (Madam Ummy).

Alisema malengo ya umoja huo ulioanzishwa mwaka 2011 na kusajiliwa mwaka jana ni kumuendeleza na kumuwezesha mwanamke kiuchumi,kijamii na kimwenendo.

Alisema umoja huo umekuwa ukitoa elimu ya ujasiriamali kwa vikundi vya wanawake na kuwawezesha kubuni biashara ndogondogo na jinsi ya kuweza kutafuta mitaji kutoka taasisi mbalimbali za kitaifa.

“Pia tunatoa ushauri nasaha kwa masuala ya familia, waathirika wa virusi vya Ukimwi na Dawa za Kulevya,”alieleza Mwenyekiti huyo.

DSC_0289

Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akitizama picha mbalimbali zinazoonyesha kazi walizofanya Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious kwa jamii inayowazunguka visiwani humo.

Vilevile Zanzibaliciuos inatoa ushauri wa kisheria katika masuala ya udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto pamoja na kuwakutanisha wanawake kutoka sehemu mbalimbali kupitia maonesho ya kibiashara na kwenye sherehe za kitaifa.

Naye Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mwanaidi Salehe ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo, alisema masuala ya wanawake yapo chini yake hivyo atahakikisha anawasaidia kwa kila namna.

Katibu Mkuu huyo ambaye alichangia Sh milioni moja kusaidia umoja huo alisisitiza kuwa “lazima tuzipiganie haki zetu wanawake, tuelimishane na tupendane na tuanze kwa watoto wetu wa kike tuwape mafunzo bora na kuwalinda wasijiingize kwenye vitendo viovu kama kuepuka dawa za Kulevya”.

DSC_0302

Wageni waalikwa wakiipokea meza kuu.

DSC_0311

Meza kuu katika nafasi yao kutoka kushoto ni Mkurugenzi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa FAWE, Bi. Khadija Ally Mohamed, Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-Kulthum Ansel (Madam Ummy), mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwezeshaji, Bi. Fatma Gharib Bilal.

DSC_0318

Mshehereshaji kwenye uzinduzi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Fauziat Abood.

DSC_0360

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-Kulthum Ansel (Madam Ummy), akisoma risala yake mbele ya mgeni rasmi na wageni waalikwa (hawapo pichani).

DSC_0379

Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akitoa baraka zake kwenye uzinduzi wa  Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious mjini Unguja.

DSC_0371

Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson akiteta jambo na mjumbe wa Umoja huo Bi. Sheha Hilal.

DSC_0323

Pichani juu na chini Baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Zanzibalicious na wageni waalikwa wakifuatilia kwa umakini hotuba ya Mwenyekiti wa Umoja huo kwenye sherehe za uzinduzi wa kukata na shoka uliofanyika kwenye hoteli ya Ocean View Beach Resort mjini Unguja.

DSC_0327

DSC_0328

DSC_0393

Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe, akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious mjini Unguja.

DSC_0002

Cake maalum katika kusheherekea uzinduzi wa Zanzibalicious Women Group.

DSC_0405

Mgeni rasmi Bi. Mwanaidi Salehe akikata cake maalum iliyoandaliwa kusindikiza uzinduzi wa Umoja huo.

DSC_0410

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-Kulthum Ansel (Madam Ummy), akimlisha kipande cha cake mgeni rasmi kama ishara ya kumshukuru kwa kushiriki nao katika uzinduzi wa Umoja huo.

DSC_0417

Mgeni rasmi Bi. Mwanaidi Salehe akimlisha cake mdau wa masuala ya wanawake Bi. Mariam Abdallah.

DSC_0419

Mshehereshaji Bi. Fauziat Abood akianzisha mnada kwa wageni waalikwa kwa kuuza kipande cha cake kwa shilingi 10,000/= kwa ajili ya kuchangia Umoja huo ambao Wanawake wa Umoja huo wamekuwa wakijichangisha fedha kutoka mfukoni mwao kwa ajili ya kuisadia jamii hususan wanawake na waathirika wa Madawa ya Kulevya.

DSC_0434

Kina baba nao walihamasika kuunga mkono zoezi hilo ambapo walilishwa vipande vya cake na mgeni rasmi Bi. Mwanaidi Salehe.

DSC_0439

DSC_0442

DSC_0452

Mmoja wa wadhaminiwa sherehe hizo kutoka kampuni ya FAITH Tours and Safaris akilishwa kipande cha cake na mgeni rasmi.

DSC_0456

Burudani kutoka COCONUT BAND ambayo ndio habari ya mujini visiwani Unguja chini ya usimamizi wa Mkurugenzi wake Bw. Raymond.

DSC_0485

Mshehereshaji Bi. Fauziat Abood akikteta jambo na mwimbaji taarab mkongwe Bi. Zuhura Shaabani.

DSC_0503

Mjumbe wa Umoja na Wanawake wa Zanzibalicious Sheha Hilal na Makamu mwenyekiti wa Umoja huo Evelyne Wilson wakimwaga manoti kwa mwimbaji mkongwe wa taarab mjini Unguja Bi. Zuhura Shaabani alipokuwa akitoa burudani kwa wageni waalikwa kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja huo.

DSC_0588

Uliwaidia ule wasaa wa mahanjumaati yaliyoandaliwa na hoteli ya Ocean View Beach Resort kwa wageni waalikwa.

DSC_0565

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwezeshaji Zanzibar, Bi. Fatma Gharib Bilal akiongoza meza kuu kupata Dinner kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious.

DSC_0618

Wageni waalikwa wakijisave msosi wa nguvu, chezea Unguja wewe kwa kukaangiza….!!!

DSC_0631

It’s Dinner time… ndani ya hoteli ya Ocean View Beach Resort.

DSC_0641

Mshereshaji Bi. Fauziat Abood akiendesha harambee ya kutunisha mfuko wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicous kwa kunadi vitu mbalimbali kwa wageni waalikwa.

DSC_0660

Makamu Mwemyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson akizunguka kwenye meza za wageni waliohidhuria sherehe za uzinduzi wa umoja huo kunadi vitu mbalimbali.

DSC_0666

Mnada ukiendelea.

DSC_0672

Hili litamfaa mke wa wangu, zuri…..! Mambo ya LVD mjini Unguja….Baba akionekana kuvutiwa na pochi lililotengenezwa na kitenge wakati wa mnada.

DSC_0680

Madam Ummy nae akinadi T-shirt kwa mdau wa Fisherman Tours.

DSC_0691

Mr. Otembo aalinunua T-shirts hizo kwa Tshs 200,000/= katika kuchangia jitihada za Umoja huo kuwafikia jamii visiwani Unguja.

DSC_0464

Pichani juu na chini wageni waalikwa wakibadilishana mawazo na kufurahi wakati wa sherehe za uzinduzi wa Zanzibalicious Women Group.

DSC_0542

DSC_0535

Walipendezaje…!!

DSC_0540

DSC_0536

DSC_0529

DSC_0528

DSC_0723

Makamu mwenyekiti akitoa utambulisho wa Wanawake wanaounda Umoja wa Zanzibalicious kwa wageni waalikwa.

DSC_0790

Mgeni rasmi na meza kuu kwenye picha ya pamoja na Zanzibalicious Women Group.

Viewing all 490 articles
Browse latest View live